EVENT::KIBAO KATA
DRESS CODE::DIRA JEPESIIII

Bi Rehema akiwa amezungukwa na asuminiiii...anasema ye kaoshwa na mpenda penda kila akienda apendwaaa

Bi Harusi wetu akijifuaa....kuelekea siku yake ya harusiiiiii...CHEZEEE
HII NDO NGOMA BAIKOKOOO...KINA DADA HAO WAMESIMAMA KIUNO KINAONGEAAAMASHAALLLAW!!!
RAHAAAA JIPEE MWENYEWEEEEE

Ukiambiwa Mwanamke Nyonga makalio majaaliwa muamini nilijionea kwa huyu mama...wish ningekuwa na moving camera....lol
Watoto wa Muji kasoro Bahari tuliwakilishwa na Mama MONO accesories, Fina Bi harusi wangu na Elizabeth Kobelo


watu walikuwa kama wako kwenye TRENI....mara hujakaa sawa Sambusa, mikate, supu, ukiingia kungu...tukamalizwa nahilo jisupu....ndo milo ya kibao kata hiyo

















Naandaa picha za kitchen party....ENJOY!!!









